TAHADARI KWA PICHA HIZI!
Tukio hili liliripotiwa na RFA. Ni matukio yanayotokea mara kawa mara, wahanga wakubwa (watendwa) ni WANAWAKE.
Cha ajabu
hakuna juhudi za makusudi za kutokomeza vitendo hivi. Wanawake tusimame
pamoja kusema inatosha kwa unyama huu mkubwa tunaofanyiwa!
Poleni kwa picha hii mbaya sana, lakini tafakari maumivu aliyopata huyu mwanamke maskini ya Mungu...
Natamani hamasa ya kutokomeza ukatili ingefanyika kwa chopa kama....... Malizia mwenyewe!
0 Response to "JOYCE KIRIA: (PICHA) WANAWAKE WA TANZANIA TUKIMBILIE WAPI? "
Post a Comment