Ni ukweli usiopingika kuwa maadili ya
kitanzania yanashuka kwa kiwango cha hali ya juu sana na kuisahau utamaduni
wetu sikatai watu wa zamani walifunika miili yao sehemu nyeti tuu lakini
ilikuwa kutokana na hali halisi ya wakati huo
Mimi nasema nyie mapromota wa mziki Tanzania
kama umeaanda sho mtu kava vyongo kwanini usimzuie bwana mbona tunajizalilisha
sana Mwanamke leo hana thamani kutokana na upuuzi wa wachache wanajirahisisha
Serikali ya Tanzania tunailaumu bure
watanzania tutazidi kupiga kelele juu ya serikali kila siku ifike sehemu
wenyewe tubadilike hebu jaribu kutazama hizi picha ambapo kuna watu wengi
walishuhudia tukio hili wengi wanasema wanafanya hivyo kutokana na kukosa ajila
ukweli ni kwamba kulazimisha maisha ya mjini na kuiga ndio tatizo kubwa kwa
vijana wengi ila na wazee wapo siku hizi
WANAUME ; nyie ndio mnasababisha vitu
kama hivi kuendelea kutokea hapa nchini kwani ukimuona mtua kafanya vyongo
mpinge sasa vidume wa bongo ndio watataka kuangalia zaidi tubadilike jamani
0 Response to " UWIIIIII!!! NI AIBUUUU MDADA AISAKATA NGOMA BALAA BAADA YA KUKOLEWA UNAJUA NINI KIMEFATA??? NI FULL KUSAULA NGUO NA KUACHA UTAMU WOTE NJEEEE...!!CHEKI MWENYEWEEEE. "
Post a Comment