zikimuonyesha Snura akiwa kwa Mganga wa Kienyeji akiwa kama anapatiwa maagizo na mganga,ambapo kwa picha hizo zipo baadhi kamshika jogoo zingine anaonekana yupo baharini anatupa kitu.
Maoni ya watu wengi na namna ya uandishi wa habari hiyo juu ya zile picha yalionesha Snura akifanya hivyo ili mambo yake yamnyookee, paparazi imepata picha hizo ambazo zilikua zimerekebishwa na kutolewa sehemu zinazoonyesha camera ambazo zilikua zikirekodi <zime editiwa>.
Hemed Kavu ‘Hk’ ambaye ndiye Meneja wa Snura amelisemea hilo>>’Kiukweli tumeshangazwa sana na picha hizo zilizosambazwa ambazo zime ‘editiwa’ na kutoa sehemu zinazoonyesha camera ili kumchafua msanii wangu aonekane anashiriki mambo ya kishirikina’
‘Ukweli wa zile picha ni baadhi ya vipande vya kwenye filamu ambayo Snura anaigiza sasa hivi na ni filamu ya Dotnata inaitwa Mlokole’.
Hizi ni baadhi ya picha zilizopo kwenye filamu hiyo.
kuona habari hizo click hap
0 Response to "Kuhusu picha za Snura anazoonekana yupo kwa Mganga wa Kienyeji,hii ni taarifa yake."
Post a Comment