Tangu
kugunduliwa kwa Smartphone, watu wengi hususan vijana wamekuwa
wakitumia sana simu hizi hasa nyakati za usiku. Utafiti uliofanya na
wataalamu toka Michigan
State University umeonesha kuwa Kukodolea sana macho Smartphones wakati
wa usiku kunapelekea mtu kujisikua mchovu sana siku inayo fuata.
Utafiti hu uliwahusisha mameneja 82 na waajiriwa wa kawaida 161 ambao
hutumia Smartphones baada ya saatatu usiku, watumishi hawa wote
waliikuta wakiwa na ugonjwa wa "smartphone hangover" sasa sijui wewe unatmia mpaka saangapi??
Hayani maneno ya Profesa msaidizi MSU Russell Johnson ;
“Smartphones are almost perfectly designed to disrupt sleep,”
Kaaaaaaazi kweli kweli. Hata hivyo ameshauri watu wazime mapema sana Smartphone zao ili wapate muda wa kutosha wa kupumzika.
Chanzo {Yahoo}
Related Posts :
HII SASA NI RECORD MPYA KUVUNJWA, MPIGA PICHAZ ZA SHOW TV AZIMIA KATIKATI YA ZOEZ LA KUMPIGA PICHAZ KEYSHIA KUTOKANA NA MAPOZ YA MITEGO YA MAHABA,UREMBO NA SHAPE YA MWANADADA HUYOO,,,JIONEE HAPA UWIIII
… Read More...
VP HUYU BINTI POZ NA UMBO LAKE, KAKUDATISHA AU KAZINGUA?? TAZAMA HAPA
… Read More...
TAZAMA PICHA 9 ZA MWANA DADA NEIRA OBIC AWEKA PICHA ZA UTUPU MTANDAONI!!!
… Read More...
HUYU NDIYE MWANAMKE ANAYE TUMIA UFUNDI WAKE KULICHEZEA KALIO LAKE KWA KUINGIZA FIMBO,,,JIONEE HAPA
… Read More...
DADA WA DIAMOND PLATNUMZ AACHIA PICHA MTANDAONI AKIWA CHUMBANI AKIFANYA YAKE NA JAMAA...!!
Kupitia Akaunti yake ya Instagram, dada wa mwanamuziki Diamond platnumz
aliachia picha hii akiwa … Read More...
0 Response to "MADHARA KUKODOLEA MACHO SANA SMARTPHONE WAKATI WA USIKU "
Post a Comment