VITUKO MBELE YA WABUNGE KATIKA SHINDANO LA MISS TABORA

Mmoja wa washabiki wa muziki wa kizazi kipya ambaye alivaa vazi lililochangia kudondosha hata heshima yake ambaye alipanda jukwaani kumkumbatia  msanii  maarufu nchini Ommy Dimpoz  wakati alipokuwa akitoa burudani katika mashindano ya Redds Miss Tabora.
Mbunge wa Jimbo la Sengerema  Bw.William Ngereja akiwa na Diwani wa kata ya Kitete manispaa ya Tabora Bw.Daniel Mhina ambaye alikuwa MC katika onesho hilo lililofanyika katika ukumbi wa Frankman Hotel mjini Tabora.
Ommy Dimpoz akitokwa na machozi wakati akitumbuiza jukwaani alipofikia hatua ya kumkumbuka marehemu msanii  maarufu Mangwea.
Ommy Dimpoz alionesha kukubalika zaidi katika onesho hilo
Mbunge Ngereja akiwa na mbunge wa vitimaalum mkoani Tabora wakij

0 Response to "VITUKO MBELE YA WABUNGE KATIKA SHINDANO LA MISS TABORA "

Post a Comment

wdcfawqafwef