JAMAA ABAMBWA AKINGONOKA NA MBUZI BANDANI, NI LAANA


mchunga ng’omba na mbuzi katika shamba la Wichila katika kijiji cha Kwekwe, Ijumaa iliopita alikubali mashitaka mbele ya hakimu Lewti Rwoodzi  ya kuwa alifanya mapenzi na mbuzi jike.
Mahakama ilisikia kuwa Moyo, aliyefiwa na mke, alikutwa akiwa hana suruali na akiwa ‘faragha’ na mbuzi jike huyo mnamo tarehe 11 Machi mwaka huu wa 2014, Moyo  aliupata mhemko wa kimapenzi baada ya kuona mbuzi wawili wakijamiiana.
Moyo ambaye alidai kuwa alipitiwa na nguvu za giza, alimfukuza mbuzi dume na kuchukua jukumu la lake la kujaamiana na mbuzi jike, kitendo hiko kilimfanya akamatwe na mchungaji mwenzake aitwae Panashe Mutorindo.
Mutorindo alimripoti Moyo kwa mwenye mifugo hiyo bwana Berinos Sadauchi, ambaye alienda kufungua mashitaka polisi ambapo Moyo alikamatwa. Mahakama aliamuru Moyo awekwe rumande mpaka Machi 17 ambapo atasomewa hukumu yake.

0 Response to "JAMAA ABAMBWA AKINGONOKA NA MBUZI BANDANI, NI LAANA"

Post a Comment

wdcfawqafwef